Maelfu ya raia wa Israel wamemiminika mitaani leo kuitaka serikali ya nchi hiyo kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano na kundi la Hamas kwenye Ukanda wa Gaza+++Shirika la kimataifa la kutetea Haki za Binaadamu la Human Rights Watch limesema mamlaka nchini Kenya zimeshindwa kushughulikia athari za mafuriko