1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaUrusi

29.04.2024: Taarifa ya habari za asubuhi

Tatu Karema
29 Aprili 2024

Ukraine yaonya kuwa hali katika mstari wa mbele wa vita inazidi kuwa mbaya, Korea Kaskazini yaikosoa Marekani kwa kusambaza makombora ya masafa marefu kwa Ukraine na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron asema silaha za nyuklia za Ufaransa zinapaswa kuwa sehemu ya mjadala wa ulinzi wa Ulaya

https://p.dw.com/p/4fHT0