1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

30.04.2024 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S30 Aprili 2024

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa hivi leo kwamba jeshi la nchi yake litaanzisha operesheni ya ardhini katika mji wa Rafah+++Wagonjwa mbalimbali katika Kaunti ya Mombasa, Pwani ya Kenya, wanaendelea kuathirika sana kutokana na mgomo wa madaktari unaondelea

https://p.dw.com/p/4fN3N