1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Borussia Dortmund yabanwa Schalke 04

13 Machi 2023

Schalke waliamua heri punda afe lakini mzigo ufike na kulazimisha sare katika uga wa nyumbani Veltis Arena na mashabiki walisherehekea sare hiyo kama ushindi wakati timu yao iko kwenye eneo la kushushwa daraja. Dortmund ilikosa huduma za nahodha Marco Reus na kiungo wa kati Julian Brandt.

https://p.dw.com/p/4OcSj