1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tshisekedi: Amani imo mikononi mwa rais atakayemrithi Kagame

2 Mei 2024

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Felix Tshisekedi alikuwa ziarani barani Ulaya hivi karibuni. DW ilifanya mahojiano maalum na kiongozi huyo kuhusu masuala mengi. Kubwa zaidi ni mahusiano yake na taifa jirani la Rwanda na mchakato wa kurejesha amani mashariki mwa nchi yake. Tizama sehemu ya mahojiano hayo.

https://p.dw.com/p/4fRZk