1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Wasichana na wanawake wanavyotumia fursa ya teknolojia

8 Mei 2024

Kuwekeza katika elimu ya teknolojia ya akili ya kubuni (AI) kwa wasichana sio tu kunafungua uwezo wao bali pia huchochea uvumbuzi na utofauti katika tasnia ya teknolojia kwa baadae. Taasisi ya LP digital kutoka Tanzania inafanya jukumu hilo la kutoa mwanga wa sayansi bunifu kwa wasichana.

https://p.dw.com/p/4fcAz