Karibu kwa Jarida la habari la DW.COM Tafadhali jisajili hapa.
Takriban watalii 100 ni miongoni mwa idadi kubwa ya waliokwama baada ya mto kufurika katika hifadhi ya wanyamapori maarufu ya Maasai Mara nchini Kenya kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika maeneo hayo.
Karibu katika matangazo ya asubuhi ya DW Kiswahili
Ukraine yaishukuru Vatican kwa juhudi za kujaribu kuwarudisha maelfu ya watoto waliopelekwa Urusi, ujumbe wa MONUSCO wasitisha operesheni zake jimboni Kivu Kusini katika jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo na Uingereza yawawekea vikwazo wanasiasa wa Uganda kutokana na madai ya ufisadi