DW: Katika Premier League leo, Liverpool itavaana na Tottenham Hotspur, ambapo Tottenham inatafuta nafasi ya kubakia nyuma ya Manchester City na Manchester United.
Inaonenaka sasa kinyang'anyiro cha ligi kuu ya kandanda nchini England - Premier League, hiyo ni cha farasi wawili. Manchester City na Arsenal. Hii ni baada ya matumaini ya Liverpool kupata pigo.
Kocha wa Manchester United Erik ten Hag amesema kwamba mchezaji Jadon Sancho "anajua anachopaswa kufanya" ikiwa anataka kuokoa kibarua chake ndani ya Old Trafford.
Baada ya mashtaka ya kujaribu kubaka kutupiliwa mbali, Manchester United imekuwa ikifanya uchunguzi wao wenyewe kuhusu Mason Greenwood. Kabla ya msimu mpya, mashabiki wa United waliandamana kupinga kurejea kwa Greenwood.