NATO inalaani "shughuli mbaya" za Urusi kwenye eneo lake
03.05.2024
Mataifa wanachama wa Jumuiya ya Kujihami NATO yameonesha wasiwasi kuhusu mashambulizi yanayohusishwa na Urusi ambayo yanatajwa kuathiri Jamhuri ya Czech, Estonia, Ujerumani, Latvia, Lithuania, Poland, na Uingereza.