Bayern Munich imerejea kileleni mwa ligi ya Ujerumani Bundesliga baada ya kuishinda VFB Stuttgart kwa mabao 2-1 jana.
Rais Joe Biden wa Marekani amemwonya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, dhidi ya kuuvamia mji wa Rafah unaowahifadhi mamilioni ya Wapalestina waliokimbia mapigano kutoka maeneo mengine ya Ukanda wa Gaza.