Wanajeshi wanne wa Japan na wafanyakazi saba wa kiwanda cha nyuklia cha Fukushima Daichi wamejeruhiwa kufuatia mripuko uliotokea leo asubuhi katika kiwanda hicho
Chad inafanya uchaguzi wa rais leo Jumatatu baada ya miaka mitatu ya utawala wa kijeshi. Uchaguzi huo ni wa kwanza kwenye kanda ya Sahel tangu eneo hilo liliposhuhudia wimbi kubwa la mapinduzi ya kijeshi.