Deutsche Welle: Serikali ya mpito ya Yemen imeufanyia marekebisho mswaada wa sheria ya kinga ya kutoshitakiwa kwa Rais Ali Abdullah Saleh na watu wake wa karibu.
Wanamgambo wa Kihouthi wanaoungwa mkono na Iran wameanza kupanua mamlaka yake ndani ya Yemen na katika kanda nzima Mashariki ya Kati.
Haya ni kulingana na Shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa IOM, ambalo limeangazia ongezeko kubwa la idadi ya watu wanaorejea kutoka Yemen kuelekea nchini humo mwaka huu.
Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani karibu na pwani ya Yemen umedungua droni nne zilizofyatuliwa na waasi wa Houthi siku ya Jumatano.