DeutscheWelle:Gabon inapania leo kuifikia mwandalizi mwenza Guinea ya Ikweta itakapopambana na Niger huku Tunisia na Moroko zinacheza pia leo katika kombe la Afrika.
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limefikia makubaliano kuhusu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika itakayotimua vumbi mwezi Julai na Agosti mwaka ujao wa 2025 nchini Morocco.
Ivory Coast jana imeandika historia baada ya kujinyakulia taji la ubingwa wa Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON kwa kuitwanga Super Eagles ya Nigeria mabao 2-1.
Mechi mbili za Kenya za kufuzu kwa Kombe la Dunia la mwaka 2026 zimehamishiwa Malawi baada ya serikali kufunga viwanja vyote vikuu, hatua ambayo pia inaathiri maandalizi ya riadha kabla ya Michezo ya Olimpiki ya Paris.