Viongozi wa Afrika leo wanakutana katika mji mkuu wa Guinea ya Ikweta- Malabo, pamoja na masuala mengine kuujadili mgogoro wa Libya.
Chad inafanya uchaguzi wa rais leo Jumatatu baada ya miaka mitatu ya utawala wa kijeshi. Uchaguzi huo ni wa kwanza kwenye kanda ya Sahel tangu eneo hilo liliposhuhudia wimbi kubwa la mapinduzi ya kijeshi.