Watu zaidi ya 100 wamefariki dunia katika mji wa Mograhat mashariki mwa India baada ya kunywa pombe haramu. Wengine kadhaa wanatibiwa hospitalini.
Bayer Leverkusen imeonesha kuijongelea fainali ya Ligi ya Europa baada ya kushinda 2-0 dhidi ya Roma jana Alhamisi huko ugenini Italia
Takriban watalii 100 ni miongoni mwa idadi kubwa ya waliokwama baada ya mto kufurika katika hifadhi ya wanyamapori maarufu ya Maasai Mara nchini Kenya kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika maeneo hayo.
Ulimwengu unaadhimisha siku ya Uhuru wa vyombo vya habari, Kauli mbiu ya mwaka huu ikiwa uandishi wa Habari na changamoto za mabadiliko ya tabia nchi. Ujumbe huu unalenga nini katika tasnia ya wanahabari na jamii kwa jumla? Saumu Njama amezungumza na Salome Kitomari Mwenyekiti wa taasisi ya vyombo vya habari kusini mwa Afrika MISA